Rais wa Jamhuri ya Comoro, Dk Ikililou Dhoinine, akimkaribisha balozi wa heshima wa Comoro nchini Oman ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya Simba,  Rahma Abdulrahman Al Kharoosi (Malkia wa Nyuki), katika Ikulu yake mjini Moroni
 Rais wa Jamhuri ya Comoro, Dk Ikililou Dhoinine,akiwa katika picha ya heshima na  balozi wa heshima wa Comoro nchini Oman ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya Simba,  Rahma Abdulrahman Al Kharoosi (Malkia wa Nyuki), katika Ikulu yake mjini Moroni.Na Mpiga Picha Wetu

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. So she is not a Tanzanian..!?

    ReplyDelete
  2. Mwaka wa njaa ni mwaka wa njaa Klabuni Msimbazi Darisalama-Tanzania.

    Malkia wa Nyuki Mdhamini wenu huyooo ametimkia Comoro na sasa amewaacha Simba S.C mkikalia kuti kavu!

    ReplyDelete
  3. Kwanza hapo mie sielewi kitu! Huyu mama ni mtanzania, kateuliwa kuwa balozi Oman, Nchi anayoiwakilisha ni Comoro! nimelewa kabisa hapo!

    Nisaidieni wasomi na 'wasomi njaa'.

    ReplyDelete
  4. Jifunzeni International Relations kwa Emmanuel Ole Naiko aliyewahi kuwa Mkurugenzi wa Idara fulani muhimu hapa nchini hadi siku za karibuni nae si Mtanzania, mbona nae nawakilisha nchi ya kigeni kwenye nafasi ya ubalozi? Sasa mtaanza fitina kwa mambo fulani fulani!!!

    ReplyDelete
  5. Hizi Njaa sasa... sikazi malkia wa nyuki kwa sasa ni mke wa nne wa Raisi wa Comoros. Mi sielewi kitu ngoja nirudi shule.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...